• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Mbeya City Council
Mbeya City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
      • Mipango na Uchumi
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Tehama
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipangomiji na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wah Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

Kamati ya uchumi, Afya na Elimu

KAMATI YA UCHUMI, ELIMU NA AFYA

Majukumu ya jumla       

Kushughulikia mambo yote yanayohusu afya ya jamii,elimu na huduma za maji.Kamati hii pia inashughulikia mambo yanayohusiana na jitihada za wananchi  vijijini kujiletea maendeleo maendeleo ya kwa kutumia mbinu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kushauri,kushawishi,kuzindua,kuelimisha na kushirikisha wananchi hao hasa katika kutayarisha,kutekeleza,kusimamia na kutathimini mipango yao ya maendeleo.

Majukumu maalumu ya Kamati

  • Kuandaa mipango madhubuti ya maendeleo ya upanuzi wa ujenzi wa hospitali,vituo vya afya na dhahanati
  • Kuandaa mipango ya maendeleo ya upanuzi na ujenzi wa shule za awali na msingi na elimu ya watu wazima kwa mujibu wa sheria ya Elimu ya mwaka 1978 kama ilivyorekebishwa mwaka 1995
  • Kupendekeza mipango ya ujenzi au upanuzi wa vituo,viwanja,majendo na mazingira ya burudani,starehe,mapumziko na michezo
  • Kuamua juu yam abo yanayohusu uhifadhi wa mambo ya kale na mandhari mbalimbali yenye sura nzuri
  • Kuandaa na kuratibu njia bora juu ya uhifadhi wa nyaraka muhimu kqwaajili ya kumbukumbu hizo zitahifadhiwa kwa mujibu wa sheria za serikali za mitaa sura ya 288
  • Kupendekeza njia bora juu ya uhifadhi wa sanaa mbalimbali za ufundi na za maonesho kwa mujibu wa sheria za serikalimza mitaa sura 288
  • Kupendekeza matumizi mazuri ya lugha ya Taifa
  • Kupendekeza na kufanya tathimini juu ya uendelezaji wa mabonde,mito na mabwawa
  • Kupendekeza namna ya malezi kwa vijana ili waweze kuwa wazalishajim katika Taifa
  • Kusimamia uanzishaji wa vikundi vya jamii na vya hiari vya wananchi katika Halmashauri kwa mujibu wa sera na maendeleo ya jamii
  • Kusimamia na kuhakiki maeneo ya misitu,porina mbuga zilizotengwa kama hifadhi za mamlaka za serikali za mitaa
  • Kubuni na kupendekeza namna ya kudhibiti moto
  • Kubuni na kupendekeza namnana ya kutumia nishati mbadala,kuzuia ukataji miti ovyo, na kuhimiza upandaji wa miti kwa wingi
  • Kuhakikisha kwamba ukaguzi wa majengo unafanyika mara kwa mara
  • Kupendekeza mipango madhubuti ya ujenzi wa barabara vijijini na wilayanikwa ujumla
  • Kupendekeza sheria ndogo zinazohusu kamati hii

Matangazo

  • VITAMBULISHO VYA MACHINGA VINAPATIKANA OFISI ZA KATA January 28, 2019
  • WAFANYABIASHARA WOTE WALIO KATIKA MAENEO YASIYO RASMI MNAARIFIWA KUONDOKA KWA HIARI MWISHO TAREHE 07/12/2018 December 06, 2018
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 22, 2018
  • TANGAZO LA TAHADHARI YA UGONJWA WA KIPINDUPINDU August 29, 2018
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC CHALAMILA ASHUSHA MAAGIZO KWA VIONGOZI MKOA WA MBEYA

    January 31, 2019
  • YALIYOJIRI MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI HALMASHAURI YA JIJI LA MBEYA

    January 30, 2019
  • RC CHALAMILA ASIFU UKARABATI WA SHULE YA MSINGI AZIMIO

    November 17, 2018
  • YALIYOTEKELEZWA NA SERIKALI YA AWAMU YA TANO KWA KIPINDI CHA MIAKA MITATU

    November 05, 2018
  • Tazama Zote

Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

"MSITUBIPU KATIKA UCHAGUZI " RC MBEYA
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Mbeya City Football Club
  • Google
  • Halmashauri ya Jiji la Mbeya Ukurasa Maalumu

Tovuti Mashughuli

  • Poralg Website
  • Ikulu Website
  • Public Service Website
  • Tanzania Website
  • eGA
  • Secretariati ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Mbalizi Road near TTCL Offices

    Anuani ya Posta: 149 Mbeya

    Simu: +25525252502372

    Simu ya Kiganjani: +255 25 2502563

    Barua Pepe: cd@mbeyacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

Idadi ya Watu waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbeya City Council . All rights reserved.