KAMATI YA FEDHA NA UTAWALA
Majukumu ya ujumla:
Kamati hii inawashirikisha wenyeviti wa kamati zote za kudumu na inapaswa kukutana kila mwezi mara moja. Aidha madaraka ya kamati hii ni kama kamati zingine za kudumu na hivyo hairuhusiwi kisheria kufanya kazi/majukumu ya kamati zingine za kudumu, kwa ujumla majukumu yake ni pamoja na kusimamia na kudhibiti ukusanywaji wa mapato na matumizi ya mali ya Halmashauri kwa kupitia vikao vyake.
Majukumu maalumu ya kamati
Mbalizi Road near TTCL Offices
Anuani ya Posta: 149 Mbeya
Simu: +25525252502372
Simu ya Kiganjani: +255 25 2502563
Barua Pepe: cd@mbeyacc.go.tz
Copyright ©2018 Mbeya City Council . All rights reserved.