• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Mbeya City Council
Mbeya City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
      • Mipango na Uchumi
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Tehama
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipangomiji na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wah Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
    • Orodha ya Wah Madiwani
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

DOR MOHAMED ISSA RAHMAT ATWAA KITI CHA UMEYA JIJI LA MBEYA

Imewekwa Tarehe: December 3rd, 2020

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Jiji la Mbeya lampitisha Mheshimiwa Dor Mohamed Issa kuwa Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Jiji la Mbeya baada ya kupigiwa kura 47 za ndiyo kati ya kura 49 zilizopigwa na wajumbe wa Baraza hilo.

Akitangaza matokeo ya uchaguzi huo Msimamizi wa Uchaguzi Katibu Tawala wa Wilaya ya Mbeya ndugu Saitoti Zerothe Stevene  amesema kura halali zilizopigwa zilikuwa kura 49 huku kukiwa hakuna kura iliyoharibika na kura za hapana zikiwa ni kura 2 tu.

Wakati huohuo Saitoti amemtangaza Bibi Agnes Mangasila kuwa Naibu Meya wa Halmashauri ya Jiji la Mbeya kwa kupigiwa kura za ndiyo 46 huku jumla ya wapiga kura wakiwa 49 na kura za hapana zikiwa 3

Akitoa shukrani zake Mheshimiwa Dor aliwashukuru wajumbe kwa kumpigia kura nyingi huku akiahidi kutoa ushirikiano kwa baraza la Madiwani ikiwa ni pamoja na kuhakikisha Jiji la Mbeya linapiga hatua za kimaendeleo.

Wakati huohuo Naibu Spika na Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini Mheshimiwa Dkt. Tulia Ackson wakati akitoa salamu zake amesema kuwa katika kikao kijacho cha Baraza la Madiwani hoja kubwa zikawe vipaumbele vya miradi ya  maendeleo ya wananchi na sio kuleta hoja binafsi.

Baraza la Madiwani hilo ni Baraza la kwanza kufanyika tangu uchaguzi Mkuu wa Urais, Wabunge na Madiwani kufanyika Octoba 28, 2020.

Matangazo

  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 JIJI LA MBEYA December 18, 2020
  • JOINING INSTRUCTION YA SHULE ZA SEKONDARI KWA WANAFUNZI WATARAJIWA WA KIDATO CHA KWANZA December 16, 2020
  • SHERIA ZINAZOSUBIRI UIDHINISHAJI WA TAMISEMI July 21, 2020
  • TAARIFA YA MREJESHO CITY PARK April 03, 2020
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WANANCHI KATA YA IGANZO WAAMUA KUJENGA VYUMBA SITA VYA MADARASA SEKONDARI YA IGANZO

    December 16, 2020
  • CHALAMILA ATETA NA MADIWANI WA JIJI LA MBEYA

    December 04, 2020
  • DOR MOHAMED ISSA RAHMAT ATWAA KITI CHA UMEYA JIJI LA MBEYA

    December 03, 2020
  • TULIA AWASIHI MADIWANI HALMASHAURI YA JIJI LA MBEYA KUSHUGHULIKIA KERO ZA WANANCHI

    December 03, 2020
  • Tazama Zote

Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

"MSITUBIPU KATIKA UCHAGUZI " RC MBEYA
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Mbeya City Football Club
  • Google
  • Halmashauri ya Jiji la Mbeya Ukurasa Maalumu

Tovuti Mashughuli

  • Poralg Website
  • Ikulu Website
  • Public Service Website
  • Tanzania Website
  • eGA
  • Secretariati ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    Mbalizi Road near TTCL Offices

    Anuani ya Posta: 149 Mbeya

    Simu: +25525252502372

    Simu ya Kiganjani: +255 25 2502563

    Barua Pepe: cd@mbeyacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbeya City Council . All rights reserved.