• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Mbeya City Council
Mbeya City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
      • Mipango na Uchumi
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Tehama
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipangomiji na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wah Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
    • Orodha ya Wah Madiwani
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

TULIA AWASIHI MADIWANI HALMASHAURI YA JIJI LA MBEYA KUSHUGHULIKIA KERO ZA WANANCHI

Imewekwa Tarehe: December 3rd, 2020

MBUNGE wa Jimbo la Mbeya Mjini ambaye pia ni Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.Tulia Akson amewataka Madiwani waliokula kiapo kwenda kuwatumikia wananchi kwa kuwasilisha kero zao kwenye vikao vya Mabaraza na si kuwasilisha mawazo yao binafsi.

Dkt,Tulia ameeleza hayo katika kikao cha kwanza cha Baraza la Madiwani kilicho husisha matukio mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuapa kwa Madiwani wote,kura kiapo cha uadilifu na kufanya uchaguzi wa Mstahiki Meya na Naibu Meya wa Jiji la Mbeya kilichofanya katika ukumbi wa Mkapa.

Amesema madiwani hao wanapaswa kuweka hoja za wananchi na sio hoja zao binafsi na kutoa kipaumbele kwa changamoto zinazowakabiri wananchi wa maeneo yao, hivyo wanatakiwa kuleta maendeleo katika Kata zao.

Dkt.Tulia amesema kuwa kila Diwani anatakiwa kujua wajibu wake wa kuwasikiliza wananchi wao ili kuweza kuwaletea maendeleo.

Nae Mkuu wa wilaya ya Mbeya Mhe: William Paul Ntika amesema kuwa kwasasa Mbeya inapendeza hivyo Madiwani waliochaguliwa watoe ushirikiano katika suala zima la shughuli za maendeleo la Jiji hilo.

Akitangaza matokeo ya uchaguzi wa Meya na Naibu Meya Msimamizi wa uchaguzi huo ,Saitot Zelothe Stevene amewatangaza Agnes Mangasila kuwa Naibu Meya wa Jiji la Mbeya kwa kupata kura 46 ,huku Meya wa Jiji la mbeya akitangazwa ndugu DorMohamed Issa ambaye alipata kura 47.

Matangazo

  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 JIJI LA MBEYA December 18, 2020
  • JOINING INSTRUCTION YA SHULE ZA SEKONDARI KWA WANAFUNZI WATARAJIWA WA KIDATO CHA KWANZA December 16, 2020
  • SHERIA ZINAZOSUBIRI UIDHINISHAJI WA TAMISEMI July 21, 2020
  • TAARIFA YA MREJESHO CITY PARK April 03, 2020
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WANANCHI KATA YA IGANZO WAAMUA KUJENGA VYUMBA SITA VYA MADARASA SEKONDARI YA IGANZO

    December 16, 2020
  • CHALAMILA ATETA NA MADIWANI WA JIJI LA MBEYA

    December 04, 2020
  • DOR MOHAMED ISSA RAHMAT ATWAA KITI CHA UMEYA JIJI LA MBEYA

    December 03, 2020
  • TULIA AWASIHI MADIWANI HALMASHAURI YA JIJI LA MBEYA KUSHUGHULIKIA KERO ZA WANANCHI

    December 03, 2020
  • Tazama Zote

Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

"MSITUBIPU KATIKA UCHAGUZI " RC MBEYA
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Mbeya City Football Club
  • Google
  • Halmashauri ya Jiji la Mbeya Ukurasa Maalumu

Tovuti Mashughuli

  • Poralg Website
  • Ikulu Website
  • Public Service Website
  • Tanzania Website
  • eGA
  • Secretariati ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    Mbalizi Road near TTCL Offices

    Anuani ya Posta: 149 Mbeya

    Simu: +25525252502372

    Simu ya Kiganjani: +255 25 2502563

    Barua Pepe: cd@mbeyacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbeya City Council . All rights reserved.