• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Mbeya City Council
Mbeya City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
      • Mipango na Uchumi
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Tehama
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipangomiji na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wah Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

UCHAGUZI MBEYA MJINI UMEFANYIKA KWA UHURU NA UWAZI" KASUSURA"

Imewekwa Tarehe: September 18th, 2018

Ni maneno ya msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Mbeya Mjini James Cola Kasusula

Msimamizi huyo pia amewashukuru wananchi,wasimamizi na vyombo vya ulinzi na usalama Jijini humo,kwa kumaliza zoezi la uchaguzi Mdogo wa Madiwani uliofanyika september 16,2018 pasipokua na uvunjifu wa amani.

Akizungumza na waandishi wa habari leo ofisini kwake, Kasusura amesema tangu kuanza kwa kampeni mpaka siku ya uchaguzi hakujatolewa taarifa yoyote iliyotishia usalama wa raia,licha ya kuwepo kwa ukiukwaji mdogo wa taratibu za uchaguzi kwa chama cha mapinduzi CCM na CHADEMA ambao walipewa barua za onyo mbili kwa CCM na moja kwa CHADEMA.

Amesema ukiukwaji uliofanywa na Chama Cha Mapinduzi ni kuandamana baada ya kampeni wakijua ni kosa,pamoja na kiongozi mkubwa wa serikali kutumia gari la serikali kwenda kwenye kampeni kitu ambacho siyo sahihi.

Kwa upande wa Chadema,Kasusura amesema nao waliandamana baada ya muda wa kampeni kuisha ambapo waliandikiwa barua moja ya onyo ambayo walikiri kutofanya tena kitendo hicho.

Kuhusu siku ya uchaguzi,September 16 amesema,zoezi lilianza vizuri na kwani vifaa vilifika kwa wakati ikiwemo watendaji na wasimamizi kwenye jumla ya vituo 61 vya kata zote tatu.

Amesema alianza kuzungukia vituoni saa  nne asubuhi kuangalia hali ya zoezi, na hapakuwa na malalamiko licha ya baadhi ya Viongozi na wagombea wa CHADEMA kudai kuwa kuna uonevu ikiwemo tukio la kumpiga mgombea wa udiwani ambapo amesema tuhuma hizo hazikuwa na ukweli kwani aliongea na mawakala na baadhi ya wananchi waliokuwepo eneo la tukio ambao walisema uchaguzi unaendelea vizuri.

Hata hivyo Kasusura amewataka viongozi na wanachama wa CHADEMA kukubaliana na matokeo na kuacha propaganda, kwani walitumia mbinu shirikishi ya kuhesabu kura ambapo kila mmoja alijiridhisha na matokeo ya kwenye vituo mpaka yalipotangazwa jumla,na kuongeza kuwa endapo kungekuwa na ubadilishaji wa kura basi mawakala wangegoma kusaini matokeo lakini hakuna wakala aliyegoma kusaini.

Uchaguzi wa madiwani katika Kata tatu za Nsalaga,Maanga na Iwambi ulifanyika september 16 mwaka huu,ambapo CCM ilishinda kwa kishindo dhidi ya CHADEMA katika Kata zote tatu.

Matangazo

  • VITAMBULISHO VYA MACHINGA VINAPATIKANA OFISI ZA KATA January 28, 2019
  • WAFANYABIASHARA WOTE WALIO KATIKA MAENEO YASIYO RASMI MNAARIFIWA KUONDOKA KWA HIARI MWISHO TAREHE 07/12/2018 December 06, 2018
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 22, 2018
  • TANGAZO LA TAHADHARI YA UGONJWA WA KIPINDUPINDU August 29, 2018
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • RC CHALAMILA ASHUSHA MAAGIZO KWA VIONGOZI MKOA WA MBEYA

    January 31, 2019
  • YALIYOJIRI MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI HALMASHAURI YA JIJI LA MBEYA

    January 30, 2019
  • RC CHALAMILA ASIFU UKARABATI WA SHULE YA MSINGI AZIMIO

    November 17, 2018
  • YALIYOTEKELEZWA NA SERIKALI YA AWAMU YA TANO KWA KIPINDI CHA MIAKA MITATU

    November 05, 2018
  • Tazama Zote

Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

"MSITUBIPU KATIKA UCHAGUZI " RC MBEYA
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Mbeya City Football Club
  • Google
  • Halmashauri ya Jiji la Mbeya Ukurasa Maalumu

Tovuti Mashughuli

  • Poralg Website
  • Ikulu Website
  • Public Service Website
  • Tanzania Website
  • eGA
  • Secretariati ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Mbalizi Road near TTCL Offices

    Anuani ya Posta: 149 Mbeya

    Simu: +25525252502372

    Simu ya Kiganjani: +255 25 2502563

    Barua Pepe: cd@mbeyacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

Idadi ya Watu waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbeya City Council . All rights reserved.