• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Mbeya City Council
Mbeya City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
      • Mipango na Uchumi
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Tehama
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipangomiji na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wah Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
    • Orodha ya Wah Madiwani
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

WAKAZI WA MWANSEKWA MBIONI KUPIMIWA ARDHI YAO

Imewekwa Tarehe: February 15th, 2021

Halmashauri ya Jiji la Mbeya ipo mbioni kupima ardhi eneo la Mwansekwa ambalo lipo pembezoni mwa Jiji hilo, Kata ya Mwansekwa ni miongoni mwa Kata 36 zilizopo katika Halmashauri ya Jiji la Mbeya.

Akiwasilisha mpango wa Jiji hilo mbele ya wananchi wa Mwansekwa Mkurugenzi wa Jiji la Mbeya Bwana Amede E.A, Ng’wanidako amewaeleza wananchi hao kuwa dhana ya mabadiliko ni ya lazima na kwakuwa Mji unakuwa hivyo wananchi hao hawana budi kukubaliana na mpango wa serikali wa kupima maeneo yao ili kuipa thamani ardhi yao na kuufanya mji wa Mbeya kupangika katika ramani ya nchi.

“Ndugu zangu kama ilivyo kwa mwanadamu huzaliwa kisha hukua na kufariki kadhalika na kwenye maisha yetu inatupasa kuwa hivyo kwa maana ya kubadilika na kuendana na hali halisi ya sasa” Alisema Mkurugenzi Amede

Aidha Mkurugenzi Amede aliwaeleza wananchi hao kuwa hatua hiyo ni ya awali ya kuwashirikisha wananchi wote ili wapate uelewa wa nini serikali imepanga kutekeleza katika eneo hilo.

Wananchi wa Kata hiyo walionyesha hofu kubwa ya endapo eneo hilo litapimwa nini itakuwa hatma yao katika maeneo hayo, Bibi Jenipher Mwamboneke mkazi wa Mwansekwa alieleza kuwa kama Jiji litapima viwanja hivyo watapata wapi maeneo ya kulima na kuendesha maisha yao.

Akijibu hoja za wananchi hao Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Mheshimiwa Wilam Paul Ntinika amewatoa hofu wananchi hao na kuwaahidi kuwa kila mwenye haki atapata haki yake huku akiielekeza Halmashauri katika zoezi hilo la upimaji kutoa kipaumbele kwa wamiliki wa ardhi wa asili

“ Ngugu zangu msiwe na hofu yoyote serikali ipo hapa kwaajili yenu hakuna atakaye nyimwa haki yake, kila mwenye haki atapata stahiki zake” aliongezea DC Ntinika

DC Ntinika ameutaka uongozi wa Kata hiyo kukaa na wananchi hao ili kutoa elimu zaidi huku akimtaka Diwani wa Kata hiyo Mheshimiwa Juma Changani kutembea ikiwezekana nyumba kwa nyumba kwa kila mwananchi ili kila mwananchi apate uelewa wa nini serikali imepanga kufanya katika eneo hilo.

 Eneo la Mwansekwa limelengwa kupimwa na Jiji la Mbeya kutokana na jinsi mji unavyokuwa siku hadi siku huku inakadiriwa kuwa na ongezeko la idadi ya watu katika Jiji la Mbeya ambalo linapelekea uhitaji mkubwa wa ardhi kwa matumizi mbalimbal

Matangazo

  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 JIJI LA MBEYA December 18, 2020
  • JOINING INSTRUCTION YA SHULE ZA SEKONDARI KWA WANAFUNZI WATARAJIWA WA KIDATO CHA KWANZA December 16, 2020
  • SHERIA ZINAZOSUBIRI UIDHINISHAJI WA TAMISEMI July 21, 2020
  • TAARIFA YA MREJESHO CITY PARK April 03, 2020
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • SHILINGI 269,501,500.00 ZATOLEWA NA JIJI LA MBEYA KWA MAKUNDI YA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU

    March 12, 2021
  • MADIWANI JIJI LA MBEYA WAPITISHA MPANGO WA BAJETI 2021/2022

    February 19, 2021
  • WAKAZI WA MWANSEKWA MBIONI KUPIMIWA ARDHI YAO

    February 15, 2021
  • MADIWANI JIJI LA MBEYA WAJITOKEZA KUFANYA USAFI

    January 30, 2021
  • Tazama Zote

Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

"MSITUBIPU KATIKA UCHAGUZI " RC MBEYA
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Mbeya City Football Club
  • Google
  • Halmashauri ya Jiji la Mbeya Ukurasa Maalumu

Tovuti Mashughuli

  • Poralg Website
  • Ikulu Website
  • Public Service Website
  • Tanzania Website
  • eGA
  • Secretariati ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    Mbalizi Road near TTCL Offices

    Anuani ya Posta: 149 Mbeya

    Simu: +25525252502372

    Simu ya Kiganjani: +255 25 2502563

    Barua Pepe: cd@mbeyacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbeya City Council . All rights reserved.