• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Mbeya City Council
Mbeya City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
      • Mipango na Uchumi
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Tehama
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipangomiji na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wah Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
    • Orodha ya Wah Madiwani
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

BARAZA LA MADIWANI HALMASHAURI YA JIJI LA MBEYA LAPITISHA BAJETI YA MWAKA WA FEDHA 2022/2023

Imewekwa Tarehe: January 27th, 2022

HALMASHAURI ya Jiji la Mbeya, inatarajia kutumia zaidi ya Sh. Bilioni 88.3 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo na matumizi mengine ya jiji hilo katika Mwaka wa Fedha 2022/2023 huku makusanyo ya ndani yakitarajiwa kuongezeka.

Mkurugenzi wa Jiji la Mbeya, Amede Ng’wanidako amesema hayo kwenye Mkutano Maalumu wa Baraza la Madiwani la kupitia na kujadili makadirio ya mapato na matumizi ya Bajeti ya Halmashauri hiyo kwa mwaka wa fedha 2022/2023.

Ng’wanidako amefafanua kuwa katika bajeti hiyo makusanyo ya ndani ya Halmashauri yataongezeka kutoka Sh. Bilioni 16.7 mpaka Sh. Bilioni 18.3 na kwamba makusanyo hayo yanatarajiwa kuongezeka kutokana na ongezeko la vyanzo vya mapato ambapo kwenye bajeti hiyo vimewekwa vipaumbele nane ambavyo fedha hizo zitaelekezwa kwenye ujenzi wa shule mpya na ukarabati wa zile zilizochakaa.

Aidha Mkurugenzi wa Jiji la Mbeya ameweka bayana kuwa katika bajeti hiyo Halmashauri inakusudia kununua gari moja maalumu kwa ajili ya kuzolea taka, kutoa mikopo kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu kwa mujibu wa sheria za nchi.

Pia amesema kuna mipango ya kujenga kituo kimoja cha afya ambacho kitajengwa katika Kata ya Isyesye na ujenzi wa shule moja maalumu ya Sekondari kwa ajili ya wanafunzi wa kuanzia Kidato cha kwanza mpaka kidato cha nne.

“Vipaumbele hivi na bajeti yetu nzima ni kwa ajili ya kuboresha utoaji wa huduma bora kwa jamii yetu, ili tufanikishe haya ni lazima tuwe na ushirikiano wa kutosha baina ya madiwani na watumishi wote wa Halmashauri yetu, amesema Ng’wanidako.

Kwa upande wake Mstahiki Meya wa Jiji la Mbeya, Mheshimiwa Dormohamed Issa ameeleza mchakato wa Uandaaji wa Bajeti ulianza kabla ya kikao hicho ambacho kilikuwa cha mwisho kwa ngazi ya Baraza la Madiwani lilitanguliwa na vikao mbalimbali ambavyo ni Kamati za madiwani na watumishi na kikao cha Kamati ya Ushauri ya Wilaya ambayo pia iliridhia bajeti hiyo ipitishwe.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI May 25, 2022
  • TANGAZO LA MNADA May 10, 2022
  • TANGAZO LA KUHAIRISHA MNADA WA HADHARA LILILOTOLEWA NA HALMASHAURI YA JIJI LA MBEYA April 25, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA April 21, 2022
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • JIJI LA MBEYA LAUZA MALI ZAKE CHAKAVU

    May 26, 2022
  • ALAT YAPONGEZA UTEKELEZAJI WA MIRADI JIJI LA MBEYA

    April 20, 2022
  • TCI YATOA MAFUNZO KWA MADIWANI JUU YA ELIMU YA AFYA YA UZAZI KWA VIJANA

    April 19, 2022
  • CCM YARIDHISHWA NA MIRADI YA MBEYA JIJI

    March 18, 2022
  • Tazama Zote

Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

"MSITUBIPU KATIKA UCHAGUZI " RC MBEYA
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Mbeya City Football Club
  • Google
  • Halmashauri ya Jiji la Mbeya Ukurasa Maalumu

Tovuti Mashughuli

  • Poralg Website
  • Ikulu Website
  • Public Service Website
  • Tanzania Website
  • eGA
  • Secretariati ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    Mbalizi Road near TTCL Offices

    Anuani ya Posta: 149 Mbeya

    Simu: +25525252502372

    Simu ya Kiganjani: +255 25 2502563

    Barua Pepe: cd@mbeyacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbeya City Council . All rights reserved.