• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Mbeya City Council
Mbeya City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
      • Mipango na Uchumi
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Tehama
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipangomiji na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wah Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
    • Orodha ya Wah Madiwani
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

BASHUNGWA AUNGURUMA USIMAMIZI MIRADI YA AFYA.

Imewekwa Tarehe: March 16th, 2022

Waziri wa nchi ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Innocent Bashungwa amewataka wakurugenzi wa Halmashauri zote nchini kuhakikisha wanamaliza miradi yote ya ujenzi wa vituo vya afya na hospitali ifikapo April 30 mwaka huu kinyume na hapo hatua za uwajibishwaji zitafikiwa dhidi yao.

Akizungumza na waandishi wa habari kwenye Hospitali ya Jiji la Mbeya Mhe: Bashungwa amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amekuwa akibuni mbinu za kupata fedha ili kuboresha sekta ya afya hivyo wasaidizi wake hatutakiwi kumuangusha katika usimamizi na utendaji.

Aidha Waziri huyo amefafanua kuwa Halmashauri ambayo haitakamilisha ujenzi huo kwa wakati, hawatapewa fedha za kuendeleza ujenzi na Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi Watendaji watachukuliwa hatua za kinidhamu na amewataka Wakuu wa Mikoa kusimamia maelekezo hayo.

Pamoja na hayo Waziri wa nchi ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa amewaelekeza wakurugenzi watendaji kuhakikisha Majengo yote ya kutolea huduma, yaliyokamilika katika maeneo mbalimbali nchini, yaanze kutoa huduma kwa wananchi, na sio kuyaacha kama magofu watakaobainika kuwa majengo yameisha na hawatoi huduma watachukuliwa hatua.

Hadi kufikia tarehe 15 Februari, 2022, vituo 110 kati ya 233, vilivyopokea fedha, vilikuwa vimekamilika na vimekwishapelekewa fedha ya awamu ya pili, jumla ya shilingi bilioni 27.5, kwa ajili ya kuendelea na ujenzi wa majengo ya wodi ya wazazi,upasuaji,kufulia na njia za waenda kwa miguu.

Waziri Bashungwa ameongeza kuwa Utaratibu huo ndio utakaotumika kwenye Miradi yote ya Afya msingi, na Halmashauri husika kama haijakamilisha ujenzi wa majengo ya awali yanayotakiwa Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi Watendaji watatakiwa kujibu kwa nini wasichukuliwe hatua za kinidhamu.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI May 25, 2022
  • TANGAZO LA MNADA May 10, 2022
  • TANGAZO LA KUHAIRISHA MNADA WA HADHARA LILILOTOLEWA NA HALMASHAURI YA JIJI LA MBEYA April 25, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA April 21, 2022
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • JIJI LA MBEYA LAUZA MALI ZAKE CHAKAVU

    May 26, 2022
  • ALAT YAPONGEZA UTEKELEZAJI WA MIRADI JIJI LA MBEYA

    April 20, 2022
  • TCI YATOA MAFUNZO KWA MADIWANI JUU YA ELIMU YA AFYA YA UZAZI KWA VIJANA

    April 19, 2022
  • CCM YARIDHISHWA NA MIRADI YA MBEYA JIJI

    March 18, 2022
  • Tazama Zote

Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

"MSITUBIPU KATIKA UCHAGUZI " RC MBEYA
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Mbeya City Football Club
  • Google
  • Halmashauri ya Jiji la Mbeya Ukurasa Maalumu

Tovuti Mashughuli

  • Poralg Website
  • Ikulu Website
  • Public Service Website
  • Tanzania Website
  • eGA
  • Secretariati ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    Mbalizi Road near TTCL Offices

    Anuani ya Posta: 149 Mbeya

    Simu: +25525252502372

    Simu ya Kiganjani: +255 25 2502563

    Barua Pepe: cd@mbeyacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbeya City Council . All rights reserved.