• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Mbeya City Council
Mbeya City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
      • Mipango na Uchumi
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Tehama
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipangomiji na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wah Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
    • Orodha ya Wah Madiwani
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

HITIMISHO LA MASHINDANO YA MBEYA SUPER CUP 2021

Imewekwa Tarehe: August 26th, 2021

HITIMISHO LA MASHINDANO YA  MBEYA SUPER CUP 2021

Mashindano ya Mbeya Super Cup yaliyoanzishwa na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mheshimiwa Juma Zuberi Homera tarehe 19/08/2021 hatimaye yamefika tamati tarehe 25/8/2021. Mashindano hayo yameweza kuhusisha timu kutoka halmashauri zote za Mbeya ambazo ni Halmashauri ya Rungwe, Halmashauri ya Kyela, Halmashauri ya Chunya, Halmashauri ya Busokelo, Halmashauri ya Mbarali na Halmashauri ya jiji la Mbeya. Mashindano hayo yalikuwa na lengo la kutafuta vipaji kwa Mkoa wa Mbeya ili kuweza kuzipa usajili timu za ligi kuu na daraja la kwanza zikiwepo Prison fc, Mbeya city fc, Mbeya kwanza na nyinginezo na kuunda timu ya mkoa kutokana na mashindano hayo.

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya mheshimiwa Juma Zuberi Homera amemshukuru mheshimiwa Rais  wa Jamuhuri ya Muungano  wa Tanzania mama Samia suluhu Hassan kwa kuweza kuendeleza michezo nchini ili kuweza kukuza vipaji kwa vijana, na pia amemshukuru Mbunge wa jiji la mbeya Dr Tulia Aksoni na wabunge wengine kwa kutoa jezi kwa timu ambazo zinatoka katika majimbo yao na viongozi wa wilaya zote za Mbeya na Mstahiki Meya mheshimiwa Dormohamed Issa Harmat na Mkurugenzi wa jiji l Mbeya  kwa kushiriki na kukubali  mashindano hayo yafanyike katika jiji la Mbeya.

Mheshimiwa Juma Zuberi Homera ametoa hamasa kwa vijana mbalimbali kuwa mashindano haya ni endelevu kwa kila mwaka kwa lengo la kuwapa fulsa vijana kuonesha vipaji vyao katika ligi kuu au madaraja ya chini maana inawapa vijana hali ya kupambana ili kufikia malengo, amesema hayo baada ya kuwakabidhi kombe washindi wa mashindano hayo timu ya uyole Worriors baada ya kufanikiwa kuifunga timu ya Kyela Combine kwa goli moja kwa sifuri.

Aidha Katibu Tawala wa Mkoa wa Mbeya  Bi. Anjelina hakusita kuishukuru kamati ya mashindano ya Mbeya Super Cup ambayo yalisimamiwa na Mkurugenzi wa jiji la Mbeya mheshimiwa Amede Ng’wanidako pamoja na Meya wa jiji la Mbeya mheshimiwa Dormohamed Issa Rahmat ambao wameweza kuiongoza kamati nzima ya mashindano na kuweza kufikia tamati  tarehe 25/8/2021 na pia Mheshimiwa Bi. Anjelina amewashukuru wadhamini wote kwa kudhamini mashindano haya na kuwashukuru wanahabari wote ambao waliweza kushiriki katika kutangaza na kusambaza taarifa za mashindano hayo ambayo bila wao wasingepata pongezi kwa Halmashauri nyingine

Mashindano hayo yaliweza kutamatika hapo tarehe 25/08/2021 kwa kuweza kuhusisha timu nane za kutoka Halmashauri zote za Mbeya na kupata mshindi kutoka Halmashauli ya mbeya jiji la Mbeya kwa timu ya Uyole Worriors na kufanikiwa kuchukua kombe lenye thamani ya 500,000/= na fedha tasilimu 5,000,000/= na mshindi wa pili Kyela combine wamepata fedha taslimu 3,000,000/= na mshindi wa tatu Mbeya Dc wamepata fedha taslmu 2,000,000/=

Mashindano hayo yameweza kuibua vipaji vya wachezaji thelathini na sita na pia Mkuu wa Mkoa amesema watakaa kambini na kufanya mchujo tena na kutafuta wachezaji ishirini na tano kwa lengo la kupata timu iliyokamilika kama timu ya mkoa. Mashindano hayo yatafanyika kila mwaka na kwa mwaka utaofuata kila wilaya itafanya mashindao ya wilaya kujumuisha Kata zao na kutoa timu ambazo zitajumuika katika mashindano ya Halmashauri zote na kutoa  timu ya Mkoa wa Mbeya.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI May 25, 2022
  • TANGAZO LA MNADA May 10, 2022
  • TANGAZO LA KUHAIRISHA MNADA WA HADHARA LILILOTOLEWA NA HALMASHAURI YA JIJI LA MBEYA April 25, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA April 21, 2022
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • JIJI LA MBEYA LAUZA MALI ZAKE CHAKAVU

    May 26, 2022
  • ALAT YAPONGEZA UTEKELEZAJI WA MIRADI JIJI LA MBEYA

    April 20, 2022
  • TCI YATOA MAFUNZO KWA MADIWANI JUU YA ELIMU YA AFYA YA UZAZI KWA VIJANA

    April 19, 2022
  • CCM YARIDHISHWA NA MIRADI YA MBEYA JIJI

    March 18, 2022
  • Tazama Zote

Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

"MSITUBIPU KATIKA UCHAGUZI " RC MBEYA
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Mbeya City Football Club
  • Google
  • Halmashauri ya Jiji la Mbeya Ukurasa Maalumu

Tovuti Mashughuli

  • Poralg Website
  • Ikulu Website
  • Public Service Website
  • Tanzania Website
  • eGA
  • Secretariati ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    Mbalizi Road near TTCL Offices

    Anuani ya Posta: 149 Mbeya

    Simu: +25525252502372

    Simu ya Kiganjani: +255 25 2502563

    Barua Pepe: cd@mbeyacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbeya City Council . All rights reserved.