• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Mbeya City Council
Mbeya City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
      • Mipango na Uchumi
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Tehama
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipangomiji na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wah Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
    • Orodha ya Wah Madiwani
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

JIJI LA MBEYA LATOA SHILINGI 605,000,000 KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU

Imewekwa Tarehe: August 2nd, 2022

Halmashauri ya Jiji la Mbeya imetoa mikopo yenye thamani ya Shilingi 605,000,000/= kwa vikundi vya wajasiriamali 31 vikiwemo vikundi vya wakina mama,vijana na watu wenye ulemavu kwa robo ya nne ya mwaka 2021/2022.

Mikopo hiyo imetolewa kwa vikundi 31 vilivyopo Jiji la Mbeya na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Mbeya mjini mheshimiwa Dkt: Tulia Ackson.

Akimkaribisha Spika kukabidhi hundi ya mkopo huo Mstahiki meya wa Jiji la Mbeya mheshimiwa Dormohamed I Rahmat ameelezea namna Halmashauri ya Jiji la Mbeya inavyotekeleza kwa vitendo maelekezo na miongozo ya serikali kwa kutoa mikopo hiyo kwa mujibu wa sera na miongozo ya nchi.

Nae Kaimu mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Mbeya Wakili Triphonia Kisiga amemshukuru Mheshimiwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa maendeleo anayoifanyia nchi kwani mikopo hii hutolewa bila riba kwa wakopaji.

Halmashauri ya Jiji la Mbeya katika kipindi cha mwaka wa fedha ulioishia 2021/2022 imeshatoa kiasi cha Bilioni 1.7 kwa makundi ya wanawake,vijana na watu wenye ulemavu

Matangazo

  • TAARIFA YA MAPATO NA MATUMIZI YA HALMASHAURI ZOTE KWA MWAKA WA FEDHA 2021/2022 August 03, 2022
  • TANGAZO LA WALIOCHAGULIWA KAZI YA MUDA YA SENSA YA WATU NA MAKAZI July 25, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 22, 2022
  • KUITWA KWENYE USAILI WASIMAMIZI WA MAUDHUI KATA YA ISANGA July 17, 2022
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • JIJI LA MBEYA LATOA SHILINGI 605,000,000 KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU

    August 02, 2022
  • HATI MILIKI 100 ZAKABIDHIWA JIJI LA MBEYA

    July 21, 2022
  • DC CHUACHUA AKABIDHI ZAWADI ZA SIKUKUU YA EID ALHAJ KWA WATOTO WA KITUO CHA ZION HOME

    July 09, 2022
  • MKOA WA MBEYA WAFANYA VIZURI UKUSANYAJI WA MAPATO

    July 06, 2022
  • Tazama Zote

Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

"MSITUBIPU KATIKA UCHAGUZI " RC MBEYA
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Mbeya City Football Club
  • Google
  • Halmashauri ya Jiji la Mbeya Ukurasa Maalumu

Tovuti Mashughuli

  • Poralg Website
  • Ikulu Website
  • Public Service Website
  • Tanzania Website
  • eGA
  • Secretariati ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    Mbalizi Road near TTCL Offices

    Anuani ya Posta: 149 Mbeya

    Simu: +25525252502372

    Simu ya Kiganjani: +255 25 2502563

    Barua Pepe: cd@mbeyacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbeya City Council . All rights reserved.