• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Mbeya City Council
Mbeya City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
      • Mipango na Uchumi
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Tehama
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipangomiji na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wah Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
    • Orodha ya Wah Madiwani
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

JIJI LA MBEYA LAUZA MALI ZAKE CHAKAVU

Imewekwa Tarehe: May 26th, 2022

Halmashauri ya Jiji la Mbeya imeuza mali zake chakavu kupitia mnada wa hadhara ulioendeshwa na mhakiki mkuu wa mali za serikali kwenye karakana ya Jiji ,Shule ya sekondari Mbeya na shule ya sekondari ya wasichana Loleza.

Akiongea kabla ya kuanza kwa mnada huo mhakiki wa mali za Serikali Bw.Simon Njoka aliweka wazi vigezo na masharti ya minada ya serikali ikiwemo kulipa asilimia 25 pindi mteja anapofanikiwa kuusimamisha mnada kwa kufikia bei iliyoshindwa kufikiwa na wengine na kumalizia malipo ndani ya siku kumi na nne kisha kuchukua mali ndani ya siku saba baada ya kumalizia malipo.

Kwenye  mnada huo ulioendeshwa na Mhakiki Mkuu wa mali za Serikali Halmashauri ya Jiji la Mbeya imeuza vifaa mbalimbali ikiwemo mtambo wa kutengenezea miundombinu ya barabara,magari,majiko ya umeme ,vyerehani na kompyuta ambavyo vyote katika mnada huo wa awamu ya kwanza vimepata wateja.

Baadhi ya wateja waliofanikiwa kununua mali katika mnada huo Bw.Kato Martin ameipongeza Halmashauri ya Jiji la Mbeya na Mhakiki Mkuu wa mali za serikali kuendesha kwa ukweli na uwazi shughuli hiyo kwa kuzingatia masharti na miongozo na kupata wateja kwa haki bila upendeleo kama ambavyo imekuwa ikijitokeza katika baadhi ya minada mingine.

Naye Bw.Andogwisye Mwamelo mteja ambaye hakubahatika kununua mali kwa kushindwa kupanda dau kwenye mnada wa awamu ya kwanza amesema ameridhishwa na uendeshwaji wa mnada huo kwa vile umezingatia haki na uwazi kama inavyotakiwa na masharti waliyotangaziwa awali kabla ya kuanza kwa zoezi hilo.

Mhakiki Mkuu wa mali za Serikali Bw.Simon Njoka ameongeza kuwa mnada huo awamu ya pili unatarajia kuendelea kesho kwenye eneo la Dampo Nsalaga ambapo yatauzwa magari na mali nyingine kwa kuzingatia sheria ,kanuni na taratibu za uendeshwaji wa minada ya serikali na amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi katika mnada huo wa hadhara.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI May 25, 2022
  • TANGAZO LA MNADA May 10, 2022
  • TANGAZO LA KUHAIRISHA MNADA WA HADHARA LILILOTOLEWA NA HALMASHAURI YA JIJI LA MBEYA April 25, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA April 21, 2022
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • “TUNAO WAJIBU MBELE YETU WA KUHAKIKISHA TUNASHIRIKI KWENYE ZOEZI LA SENSA” - DC CHUACHUA

    June 24, 2022
  • RC HOMERA AWATAKA MACHINGA BLOCK T KUHAMIA UWANJA WA NDEGE WA ZAMANI

    June 23, 2022
  • JIJI LA MBEYA LAUZA MALI ZAKE CHAKAVU

    May 26, 2022
  • ALAT YAPONGEZA UTEKELEZAJI WA MIRADI JIJI LA MBEYA

    April 20, 2022
  • Tazama Zote

Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

"MSITUBIPU KATIKA UCHAGUZI " RC MBEYA
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Mbeya City Football Club
  • Google
  • Halmashauri ya Jiji la Mbeya Ukurasa Maalumu

Tovuti Mashughuli

  • Poralg Website
  • Ikulu Website
  • Public Service Website
  • Tanzania Website
  • eGA
  • Secretariati ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    Mbalizi Road near TTCL Offices

    Anuani ya Posta: 149 Mbeya

    Simu: +25525252502372

    Simu ya Kiganjani: +255 25 2502563

    Barua Pepe: cd@mbeyacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbeya City Council . All rights reserved.