• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Mbeya City Council
Mbeya City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Health,Social Welfare and Nutrition services Division
      • Agriculture,Livestock and Fisheries Division
      • Human Resources Management and Administration Division
      • Pre Primary and Primary Education Division
      • Secondary Education Divison
      • Infrastructure,Rular and Urban Development Division
      • Planning and Coordination Division
      • Industry, Trade and Investments Division
      • Community Development Division
    • Vitengo
      • Internal Audit Unit
      • Procurement Management Unit
      • ICT Unit
      • Legal Services Unit
      • Finance and Accounts Unit
      • Government Communication Unit
      • Natural resources and Environment Conservation
      • Sports, Culture and Arts Unit
      • Ward Executive Office
      • Village/Mtaa Executive Office
      • Waste Management and Sanitation
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipangomiji na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wah Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
    • Orodha ya Wah Madiwani
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

MKOA WA MBEYA KUCHANJA WATOTO 600,000 KUWAKINGA NA POLIO

Imewekwa Tarehe: September 21st, 2023

Mkoa wa Mbeya umezindua zoezi la chanjo ya matone Polia kwa watoto waliochini ya umri wa miaka nane hafla iyofanyika kwenye Kata ya Iyela iliyopo Halmashauri ya Jiji la Mbeya kwa ajili ya  kuwakinga na ugonjwa huo unaosababisha ulemavu wa kudumu na kupelekea kifo.

Akizungumza wakati wa kuzindua Chanjo hiyo ya matone ya Polio Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh.Juma Homera amesema kuanza kwa zoezi la chanjo kwenya mikoa Mbeya,Songwe,Katavi na Kagera kumetokana kuonekana kwa dalili za ugonjwa huo kwenye baadhi ya maeneo wamepatikana wagonjwa baada ya kuchukuliwa sampuli na kubainika watu hao wamepatwa na ugonjwa huo.

Homera ameongeza kuwa serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Mh.Dkt Samia Suluhu Hassan imeamua kuwakinga watoto na ugonjwa huo kwa maslahi mapana ya kizazi hiki na kijacho kwani bila kinga nchi itapoteza nguvu kazi ijayo na kujenga nchi itakayokuwa na wategemezi wengi kutokana na madhara ya ugonjwa wa polio ambao usababisha kupooza,ulemavu na kifo.

Mkuu wa Mkoa ametumia fursa hiyo kuwaeleza wazazi na walezi wasiwafiche ndani watoto wawatoe ama wawapeleke katika vituo vilivyotangazwa ili wapatiwe chanjo ya Polio waweze kuishi wakiwa na afya imara ili waje kuzijenga familia bora na nchi wakiwa na afya imara bila kushambuliwa au kupata madhara ya ugonjwa huo.

Kwa upande wake Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Jiji la Mbeya Mh.Dormohamed Issa ameishukuru serikali na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Homera kwa kuamua zoezi la Chanjo ya polio lizinduliwe kwenye Jiji la Mbeya na ametua nafasi hiyo kuwaomba wakazi wa jiji la Mbeya kujitokeza vituoni na kwenye maeneo yaliyotangazwa kwa ajili ya kuwapatia Chanjo watoto waliochini ya umri wa miaka nane kwa kufanya hivyo ni kuwalinda watoto wetu na nchi yetu.

Naye Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Jiji la Mbeya Dkt.Yesaya Mwasubila amewasihi wananchi kuhakikisha wanafanikisha watoto wao waliochini ya umri wa miaka nane wanapatiwa chanjo ya polio na kubainisha kuwa chanjo hiyo ni salama haina madhara na haina usumbufu mkubwa wala mdogo kama ilivyokuwa kwa chanjo nyingine hasa za sindano.

Chanja ya Polio itatolewa kwenye Vituo vya Afya,Maeneo ya mikusanyiko kama masokoni,nyumba za ibada yaaani Makanisani,Misikitini,Shuleni na litafanyika zoezi la kupita nyumba kwa nyumba.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI AJIRA YA MKATABA KWA NAFASI YA MSAIDIZI WA HESABU May 07, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAZUNGUMZO ( ORAL III C) April 23, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAZUNGUMZO (ORAL III B) April 23, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAZUNGUMZO(ORAL III A) April 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MOTISHA ZATOLEWA KWA WALIMU WAKUU KWA USIMAMIZI BORA WA MIRADI

    January 24, 2025
  • WAANDIKISHAJI WA UCHAGUZI WAAPISHWA JIJINI MBEYA

    October 08, 2024
  • JIJI MBEYA LATAKIWA KUPIMA ARDHI KWA AJILI YA UWEKEZAJI

    July 31, 2024
  • JIJI MBEYA LATAKIWA KUPIMA ARDHI KWA AJILI YA UWEKEZAJI

    July 31, 2024
  • Tazama Zote

Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

"MSITUBIPU KATIKA UCHAGUZI " RC MBEYA
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Mbeya City Football Club
  • Google
  • Halmashauri ya Jiji la Mbeya Ukurasa Maalumu

Tovuti Mashughuli

  • Poralg Website
  • Ikulu Website
  • Public Service Website
  • Tanzania Website
  • eGA
  • Secretariati ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    Mbalizi Road near TTCL Offices

    Anuani ya Posta: 149 Mbeya

    Simu: +25525252502372

    Simu ya Kiganjani: +255 25 2502563

    Barua Pepe: cd@mbeyacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbeya City Council . All rights reserved.