• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Mbeya City Council
Mbeya City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
      • Mipango na Uchumi
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Tehama
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipangomiji na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wah Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
    • Orodha ya Wah Madiwani
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

MSTAHIKI MEYA JIJI LA MBEYA AHAMASISHA WANANCHI KUCHANJA

Imewekwa Tarehe: August 4th, 2021

Wananchi Halmashauri ya Jiji la Mbeya wametakiwa kujitokeza kwenye zoezi la chanjo ya Mapambano dhidi ya ugonjwa wa Uviko19 linaloendelea katika vituo mbalimbali baada ya kuzinduliwa hivi karibuni Ikulu jijini Dar es salaam na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.

Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Jiji la Mbeya Dormohamed Issa ametoa wito huo alipokuwa akishiriki kwenye zoezi la chanjo lilofanyika kwenye Kituo cha Afya Kiwanja Mpaka na amewatoa hofu wananchi kuwa wataalam wamethibitisha kuwa Chanjo hiyo haina madhara hivyo wananchi wajitokeze kwa hiyari kupata chanjo kwa vile bado ugonjwa huo unaitikisa Dunia na kusababisha vifo vingi.

Aidha Meya huyo amendelea kuwafafanulia wakazi wa Jiji la Mbeya kuwa hata miaka ya nyuma zilipokuja chanjo za magonjwa mbalimbali yalikuwa yakizushwa maneno mengi lakini yeye na watu wenye umri kama wake walichanja na hakuna madhaara yaliyojitokeza hivyo amewataka kuacha kusikiliza maneno yasiyo na msingi kwenye afya bali kufuata maelekezo na kuzingatia taarifa na tahadhari zitolewazo na wataalamu.

Kwa upande wake Mganga mkuu wa Halmashauri ya Jiji la Mbeya Dkt.Jonas Lulandala amewataka wananchini kutokuwa na hofu juu ya Chanjo hiyo ya Uviko19 (Covid19) ambayo ni muhimu kuchanja kwa vile janga hili limesumbua ulimwengu mzima ambao mpaka sasa uko kwenye mapambano hivyo asiyechanja atakuwa anajitenga na ulimwengu.

Mganga mkuu huyo wa Halmashauri ya Jiji la Mbeya ameongeza kuwa umuhimu wa chanjo ni kuzuia kupata ugonjwa wa Uviko19 na hata ukiupata haukuletei athari na madhara makubwa kama yule asiye Chanja.

Aidha Dkt.Lulandala amefafanua kuwa awali katika Halmashauri ya jiji la Mbeya kuliwa na vituo vitatu vya Chanjo ambavyo ni Hospitali ya rufaa Kanda, Hospitali ya rufaa Mkoa na Hospitali ya Igawilo lakini baada ya kuona uhitaji na umuhimu wa zoezi la Chanjo wameongeza kituo kimoja ambacho ni Kituo cha afya Kiwanja Mpaka na kufikia vituo vinne vya kutolea ya chanjo Uviko19 kwasasa.

Matangazo

  • TAARIFA YA MAPATO NA MATUMIZI YA HALMASHAURI ZOTE KWA MWAKA WA FEDHA 2021/2022 August 03, 2022
  • TANGAZO LA WALIOCHAGULIWA KAZI YA MUDA YA SENSA YA WATU NA MAKAZI July 25, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 22, 2022
  • KUITWA KWENYE USAILI WASIMAMIZI WA MAUDHUI KATA YA ISANGA July 17, 2022
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • JIJI LA MBEYA LATOA SHILINGI 605,000,000 KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU

    August 02, 2022
  • HATI MILIKI 100 ZAKABIDHIWA JIJI LA MBEYA

    July 21, 2022
  • DC CHUACHUA AKABIDHI ZAWADI ZA SIKUKUU YA EID ALHAJ KWA WATOTO WA KITUO CHA ZION HOME

    July 09, 2022
  • MKOA WA MBEYA WAFANYA VIZURI UKUSANYAJI WA MAPATO

    July 06, 2022
  • Tazama Zote

Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

"MSITUBIPU KATIKA UCHAGUZI " RC MBEYA
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Mbeya City Football Club
  • Google
  • Halmashauri ya Jiji la Mbeya Ukurasa Maalumu

Tovuti Mashughuli

  • Poralg Website
  • Ikulu Website
  • Public Service Website
  • Tanzania Website
  • eGA
  • Secretariati ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    Mbalizi Road near TTCL Offices

    Anuani ya Posta: 149 Mbeya

    Simu: +25525252502372

    Simu ya Kiganjani: +255 25 2502563

    Barua Pepe: cd@mbeyacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbeya City Council . All rights reserved.