• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Mbeya City Council
Mbeya City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
      • Mipango na Uchumi
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Tehama
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipangomiji na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wah Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
    • Orodha ya Wah Madiwani
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

RC HOMERA ATOA MAAGIZO KWA WAKUU WA WILAYA KUHUSU USAFI MKOANI MBEYA

Imewekwa Tarehe: September 18th, 2021

Wakuu wa Wilaya zote Mkoani Mbeya wametakiwa kuanzisha Kampeni za usafi na kutunza mazingira ili kuufanya Mkoa huo uwe na wakazi wenye afya wanaoishi katika mazingira mazuri ambayo yanaweza kuwavutia wawekezaji kwenye sekta mbalimbali zilizopo Mkoa Mbeya.

Rai hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh.Juma Zuberi Homera alipokuwa akizindua kampeni ya “WEKA JIJI SAFI” hafla iliyofanyika katika Stand ya daladala ya Kabwe ambapo ametaka Wakuu wa Wilaya za  Chunya ,Rungwe , Mbarali na Kyela kuiga mfano kutoka katika Halmashauri ya Jiji la Mbeya iliyondani ya Wilaya ya Mbeya.

Aidha Mh.Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Homera amewataka viongozi hao kwenda kuzisimamia ipasavyo sheria ndogo ndogo ambazo Halmashauri zimekasimishwa na Bunge kuzitunga ikiwemo faini za uharibifu na uchafuzi wa mazingira ambazo zinalinda na kutunza madhari ya Mkoa wa Mbeya na Halmashauri zake.

Katika uzinduzi huo baadhi ya wafanyabiashara katika masoko wakiwemo wafanyabiashara wa Soko la Soweto Jijini Mbeya wameonesha kuunga mkono kampeni ya WEKA JIJI SAFI kwa kufika kwenye uzinduzi huo na bango lenye ujumbe SOKO LA SOWETO BILA UCHAFU LINAWEZEKANA.

Naye Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini ambaye pia ni Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano Dkt.Tulia Ackson amewaomba wakazi wa Jimbo lake kutunza mazingira ili kuendelea kuivutia Serikali kuijenga Mbeya kama ambavyo imeahidi likiwemo suala la ujenzi wa barabara nne kutoka Uyole mpaka Mbalizi na ujenzi wa Hospitali na miundombinu ya elimu inayoendelea kujengwa kwenye jiji la Mbeya na Mkoa wa Mbeya kiujumla.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI May 25, 2022
  • TANGAZO LA MNADA May 10, 2022
  • TANGAZO LA KUHAIRISHA MNADA WA HADHARA LILILOTOLEWA NA HALMASHAURI YA JIJI LA MBEYA April 25, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA April 21, 2022
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • JIJI LA MBEYA LAUZA MALI ZAKE CHAKAVU

    May 26, 2022
  • ALAT YAPONGEZA UTEKELEZAJI WA MIRADI JIJI LA MBEYA

    April 20, 2022
  • TCI YATOA MAFUNZO KWA MADIWANI JUU YA ELIMU YA AFYA YA UZAZI KWA VIJANA

    April 19, 2022
  • CCM YARIDHISHWA NA MIRADI YA MBEYA JIJI

    March 18, 2022
  • Tazama Zote

Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

"MSITUBIPU KATIKA UCHAGUZI " RC MBEYA
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Mbeya City Football Club
  • Google
  • Halmashauri ya Jiji la Mbeya Ukurasa Maalumu

Tovuti Mashughuli

  • Poralg Website
  • Ikulu Website
  • Public Service Website
  • Tanzania Website
  • eGA
  • Secretariati ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    Mbalizi Road near TTCL Offices

    Anuani ya Posta: 149 Mbeya

    Simu: +25525252502372

    Simu ya Kiganjani: +255 25 2502563

    Barua Pepe: cd@mbeyacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbeya City Council . All rights reserved.