• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Mbeya City Council
Mbeya City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Health,Social Welfare and Nutrition services Division
      • Agriculture,Livestock and Fisheries Division
      • Human Resources Management and Administration Division
      • Pre Primary and Primary Education Division
      • Secondary Education Divison
      • Infrastructure,Rular and Urban Development Division
      • Planning and Coordination Division
      • Industry, Trade and Investments Division
      • Community Development Division
    • Vitengo
      • Internal Audit Unit
      • Procurement Management Unit
      • ICT Unit
      • Legal Services Unit
      • Finance and Accounts Unit
      • Government Communication Unit
      • Natural resources and Environment Conservation
      • Sports, Culture and Arts Unit
      • Ward Executive Office
      • Village/Mtaa Executive Office
      • Waste Management and Sanitation
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipangomiji na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wah Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
    • Orodha ya Wah Madiwani
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

WATUMISHI MBEYA WAPEWA MATUMAINI KUHUSU KIKOKOTOO

Imewekwa Tarehe: May 2nd, 2024

Mkuu wa Wilaya aya Rungwe Mhe. Jaffar Haniu amesema kutokana na mchango mkubwa wanaoutoa wafanyakazi mkoa wa Mbeya na Taifa kwa ujumla, madai yao kwa Serikali kuangalia upya suala la kikokotoo litafikishwa mahali sahihi kwakuwa Serikali ya Awamu ya Sita ni sikivu na inawajali wafanyakazi.

Mhe. Haniu ameyasema hayo leo tarehe 1 Mei, 2024 akimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, wakati wa Sherehe za maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani, yaliyofanyika kimkoa wilayani Rungwe.

" Tangu Serikali ya Awamu ya Sita iingie madarakani imekuwa ikiboresha mazingira ya kazi na kuwezesha wananchi wake kuingia kwenye mfumo rasmi wa ajira serikalini, katika sekta binafsi na sekta isiyo rasmi, hii inadhihirisha wazi kuwa inawajali wananchi wake", amefafanua Mhe. Haniu.

Ameeleza zaidi kuwa Serikali imeruhusu kuendelea kutoa mikopo ya asilimia 10 kwa wanawake, vijana na watu wenye ulemavu, mkoa wa Mbeya ukiwa umetengewa shilingi Bilioni 5.

Pamoja na hayo Mhe. Haniu amewataka wafanyakazi kupinga na kukemea vitendo vya rushwa katika maeneo ya kazi kwani palipo na rushwa haiwezi kupatikana huduma bora.

Awali akisoma risala kwa mgeni rasmi, Mratibu wa Chama cha Wafanyakazi TUCTA, Bw. Riziki Mashaka alisema mtumishi hufanya kazi kwa muda mrefu bila ongezeko la mshahara wenye tija, kutokana na hali hiyo hustaafu akiwa na kiasi kidogo cha fedha na kusababisha ugumu wa maisha kwa mtaafu huyo.

Amesema pia kuwa kikokotoo kinamfanya mfanyakazi kupata fedha kidogo mara tu, anapostaafu kwa kupata asilimia 33 ya kile alichopaswa kukipata, hivyo ameiomba Serikali kuboresha utoaji huduma kwa mifuko ya hifadhi ya jamii ili wanufaika wapate stahiki zenye tija zitatakazo wasaidia kwenye kustaafu kwao, huku akitolea mfano kwa Wabunge wanaolipwa stahiki zao mara tu, wanapomaliza muda wao wawapo bungeni zaidi ya shilingi milioni 270 ikiwa ni nje ya mshahara wa kila mwezi.

Bw. Mashaka amesema kuna haja ya Serikali kubadili kanuni ili kunufaisha wafanyakazi na kuendelea kuimarisha zaidi mifuko ya jamii .

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI AJIRA YA MKATABA KWA NAFASI YA MSAIDIZI WA HESABU May 07, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAZUNGUMZO ( ORAL III C) April 23, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAZUNGUMZO (ORAL III B) April 23, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAZUNGUMZO(ORAL III A) April 23, 2025
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MAONESHO YA MBEYA CITY EXPO FURSA KWA WAFANYABIASHARA HALMASHAURI YA JIJI LA MBEYA

    May 28, 2025
  • VIJANA MBEYA WAPIGWA MSASA WASISITIZWA KUZIFUATA FURSA ILI KUJIKWAMUA KIUCHUMI

    May 16, 2025
  • VIJANA MBEYA WAPIGWA MSASA WASISITIZWA KUZIFUATA FURSA ILI KUJIKWAMUA KIUCHUMI

    May 16, 2025
  • MOTISHA ZATOLEWA KWA WALIMU WAKUU KWA USIMAMIZI BORA WA MIRADI

    January 24, 2025
  • Tazama Zote

Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

"MSITUBIPU KATIKA UCHAGUZI " RC MBEYA
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Mbeya City Football Club
  • Google
  • Halmashauri ya Jiji la Mbeya Ukurasa Maalumu

Tovuti Mashughuli

  • Poralg Website
  • Ikulu Website
  • Public Service Website
  • Tanzania Website
  • eGA
  • Secretariati ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    Mbalizi Road near TTCL Offices

    Anuani ya Posta: 149 Mbeya

    Simu: +25525252502372

    Simu ya Kiganjani: +255 25 2502563

    Barua Pepe: cd@mbeyacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbeya City Council . All rights reserved.