• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Mbeya City Council
Mbeya City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
      • Mipango na Uchumi
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Tehama
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Wah Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipangomiji na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wah Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

Afya

Idara ya Afya

Idara hii inashughulika na masuala ya huduma za afya ya kinga na tiba ya maradhi mbalimbali

NA

HUDUMA ZINAZOTOLEWA

VIWANGO VYA MUDA

Wagonjwa wa nje

Kutoa huduma ya dharura
Ndani ya dakika 15 toka dharura inapotokea

Wagonjwa wa kawaida kuonwa na daktari
Ndani ya saa 1 tokea kufika kwa mgonjwa

Ushauri nasaha na upimaji wa hiari
Ndani ya masaa mawili tokea kufika kwa mgonjwa

Huduma za kawaida za maabara (upimaji wa damu, widal, choo, mkojo, wingi wa damu)
Ndani ya saa 24

Utoaji wa dawa
Ndani ya dakika 15

Huduma ya Afya ya uzazi na mtoto (PMTCT na ANC – Councelling).
Ndani ya masaa mawili toka kufika kwa mgonjwa

  • Afya ya mtoto
Ndani ya dakika 45

  • Uzazi wa mpango
Ndani ya dakika 20

  • Magonjwa ya akina mama kuonwa na daktari
Ndani ya siku 2
Wagonjwa wa ndani waliolazwa

Kutoa huduma ya dharura baada ya saa za kazi
Ndani ya saa moja tokea dharura kugundulika

Kupokelewa na kupata huduma na kuonwa na daktari
Ndani ya saa moja tokea kupokelewa

Daktari kuona wagonjwa Clinic ya mpango wa Bima ya Afya
Ndani ya saa moja mgonjwa awe ameonwa na Daktari

Kutoa taarifa ya uchunguzi wa maiti kwa Polisi
Ndani ya ya siku 14 tangu tarehe ya kufanya uchunguzi

Kutoa taarifa ya afya ya wafungwa kwa Afisa Magereza
Ndani ya siku mbili tokea kuombwa



Matangazo

  • KATAZO LA SERIKALI KUHUSU MIFUKO YA PLASTIKI May 22, 2019
  • VITAMBULISHO VYA MACHINGA VINAPATIKANA OFISI ZA KATA January 28, 2019
  • WAFANYABIASHARA WOTE WALIO KATIKA MAENEO YASIYO RASMI MNAARIFIWA KUONDOKA KWA HIARI MWISHO TAREHE 07/12/2018 December 06, 2018
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI October 22, 2018
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • ACP KASUSURA AZINDUA MADARASA SHULE ZA MSINGI JIJI LA MBEYA

    August 14, 2019
  • PINDA AFUNGA MAONYESHO YA NANENANE NYANDA ZA JUU KUSINI

    August 08, 2019
  • RC CHALAMILA AWAONYA WANAOZUIA UPIMAJI MIPANGOMIJI KATA YA IZIWA JIJINI MBEYA,

    April 04, 2019
  • Wahitimu wa kidato cha nne mwaka 2018 ruksa kubadilisha Tahsusi (Combination)

    March 29, 2019
  • Tazama Zote

Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

"MSITUBIPU KATIKA UCHAGUZI " RC MBEYA
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Mbeya City Football Club
  • Google
  • Halmashauri ya Jiji la Mbeya Ukurasa Maalumu

Tovuti Mashughuli

  • Poralg Website
  • Ikulu Website
  • Public Service Website
  • Tanzania Website
  • eGA
  • Secretariati ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    Mbalizi Road near TTCL Offices

    Anuani ya Posta: 149 Mbeya

    Simu: +25525252502372

    Simu ya Kiganjani: +255 25 2502563

    Barua Pepe: cd@mbeyacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbeya City Council . All rights reserved.