• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Mbeya City Council
Mbeya City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
      • Mipango na Uchumi
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Tehama
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipangomiji na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wah Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
    • Orodha ya Wah Madiwani
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

Habari


MKOA WA MBEYA WAJIPANGA KUZUIA NA KUPAMBANA NA MADAWA YA KULEVYA

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh Amos G Makalla amekutana na Kamati zote za Ulinzi na usalama kutoka katika Wilaya zote za Mbeya,Wakuu wa vitengo mpakani Kasumulu, Wakuu wa vitengo TAZARA, Wakuu wa Uwanja wa Ndege Songwe, Wakuu wa Vituo vya Polisi,Waganga wakuu,Maafisa Elimu na Waandishi wa Habari wa Mkoa wa Mbeya. Katika kikao kazi hicho Mh Makalla alitoa maelekezo muhimu ya namna ya kupambana na kutokomeza madawa ya kulevya katika Mkoa wa Mbeya na katika maeneo ya mipakani.

Mh Makalla aliwataka viongozi hao kumuunga mkono Waziri Mkuu Mh Kassim Majaliwa katika upambanaji wa madawa ya kulevya kwakuwa yeye ni mwenyekiti aliyepewa dhamana ya kusimamia suala hili na kuhakikisha Taifa linakuwa na kizazi salama kisichokuwa na waathirika ama watumiaji wa madawa ya kulevya.

Mh Makalla alisisitiza mambo makuu nane ambayo amewataka wahusika kuhakikisha wanasimamia kwa weledi kama jinsi ambavyo ilani ya Chama cha Mapinduzi inavyosimamia na kutaka wananchi kupinga kwa bidii zote matumizi ya madawa ya kulevya.

1. Kamati ya Ulinzi na Usalama na vyombo vyote vihakikishe vinabeba dhamira ya dhati ya kuchukia madawa ya kulevya.

2. Awaomba wananchi kutoa ushirikiano kwa vyombo vya dola katika mapambano ya madawa ya kulevya.

3. Aagiza agenda ya madawa ya kulevya iwe ya kudumu katika kila muhtasari utakao andikwa katika kila kikao.

4. Aagiza vyombo vyote vya ulinzi na usalama hususani vilivyopo mipakani kuhakikisha wanalinda na kuimarisha usalama katika maeneo yao ya kazi.

5. Vyombo vya Ulinzi na Usalama vinajua namna ya kukamata na kuchunguza hivyo wafanye kazi kwa weledi bila kumwonea mtu.

6. Madaktari wahakikishe wanatoa huduma pindi waathirika wa madawa ya kulevya watakapofika katika maeneo yao ya kazi na kuhitaji huduma ya kitabibu.

7. Maafisa Elimu wahakikishe wanatenga vipindi kwaajili ya kuwafundisha wanafunzi madhara ya matumizi ya madawa ya kulevya ili kuwaepusha kujiingiza katika matumizi hayo.

8. Aagiza wanahabari kuhakikisha jamii inaelimishwa juu ya madhara ya madawa hayo kwakuwa wao ndio walezi wa vijana ambao wengi wao wamekubwa na tatizo hili la matumizi ya madawa haya.

Nae Dr Paul Lawala toka Hospitali ya Mkoa alieleza mbele ya Mkuu wa Mkoa kuwa watumiaji wa madawa ya kulevya katika Mkoa wa Mbeya waliopokelewa katika hospitali hiyo kwaajili ya kupatiwa matibabu kwa mwaka 2016 ni jumla ya wagonjwa 483, “idadi hii imezidi kuongezeka kwa kila mwaka kwa miaka mitatu iliyopita kwa mfululizo nah ii ni ishara kuwa watumiaji wa madawa haya wanaongezeka kila siku kwa Mkoa wetu”alisisitiza

Nae RPC alisema mpaka sasa kuna jumla ya makosa 77 yanayohusisha madawa ya kulevya na kutaja maeneo vinara kwa matumizi ya madawa ya kulevya katika Jiji la Mbeya kuwa ni pamoja na Nonde, Ilomba, Soweto na Uyole na katika Wilaya ya Chunya alitaja makongorosi na kwa Rungwe ni Kiwira na Ushirika wakati Mbarari alitaja Ubaruku na Rujewa nakumalizia na Mji wa Mbalizi . Akihitimisha kikao kazi hicho Mkurugenzi wa Jiji la Mbeya Ndugu Zakaria Nachoa aliwaasa watendaji wa Kata kuhakikisha wanasimamia upigaji vita wa madawa haya katika maeneo yao ya kazi na kuhakikisha wanakomesha matumizi yake.


Matangazo

  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 JIJI LA MBEYA December 18, 2020
  • JOINING INSTRUCTION YA SHULE ZA SEKONDARI KWA WANAFUNZI WATARAJIWA WA KIDATO CHA KWANZA December 16, 2020
  • SHERIA ZINAZOSUBIRI UIDHINISHAJI WA TAMISEMI July 21, 2020
  • TAARIFA YA MREJESHO CITY PARK April 03, 2020
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • WANANCHI KATA YA IGANZO WAAMUA KUJENGA VYUMBA SITA VYA MADARASA SEKONDARI YA IGANZO

    December 16, 2020
  • CHALAMILA ATETA NA MADIWANI WA JIJI LA MBEYA

    December 04, 2020
  • DOR MOHAMED ISSA RAHMAT ATWAA KITI CHA UMEYA JIJI LA MBEYA

    December 03, 2020
  • TULIA AWASIHI MADIWANI HALMASHAURI YA JIJI LA MBEYA KUSHUGHULIKIA KERO ZA WANANCHI

    December 03, 2020
  • Tazama Zote

Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

"MSITUBIPU KATIKA UCHAGUZI " RC MBEYA
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Mbeya City Football Club
  • Google
  • Halmashauri ya Jiji la Mbeya Ukurasa Maalumu

Tovuti Mashughuli

  • Poralg Website
  • Ikulu Website
  • Public Service Website
  • Tanzania Website
  • eGA
  • Secretariati ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    Mbalizi Road near TTCL Offices

    Anuani ya Posta: 149 Mbeya

    Simu: +25525252502372

    Simu ya Kiganjani: +255 25 2502563

    Barua Pepe: cd@mbeyacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbeya City Council . All rights reserved.