• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Mbeya City Council
Mbeya City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
      • Mipango na Uchumi
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Tehama
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipangomiji na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wah Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
    • Orodha ya Wah Madiwani
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

Elimu Sekondari

Idara ya Elimu ya Sekondari

Idara hii inashughulika na kuratibu, kusimamia na kutathimini utekelezaji wa sera ya elimu na mafunzo ya ufundi ya mwaka 1995 kwa lengo la kuinua kiwango cha ubora wa elimu kwa ngazi ya sekondari.

NA

HUDUMA ITOLEWAYO

VIWANGO VYA MUDA


Kushughulikia barua za ruhusa za Walimu kwenda nje na ndani ya Jiji na kwenda masomoni.
Ndani ya kakika 20 kwa kila mteja

Uhamisho wa wanafunzi nje na ndani ya Mkoa.
Ndani ya dakika 15 kwa kila mteja

Kushughulikia maombi ya Walimu, madai ya likizo, uhamisho, matibabu, malimbikizo ya mishahara na mishahara, bima ya afya.
Ndani ya dakika 20 kwa kila mtendaji

Kuandaa fedha za ruzuku, PEDP / SEDP na kuzipeleka mashuleni.
Ndani ya Siku 7 tangu kuingia kwa fedha husika

Kuidhinisha fedha kwa ajili ya malipo kutoka mashuleni.
Ndani ya dakika 10 kwa kila mteja

Kuidhinisha fomu za mikopo kwa Walimu.
Ndani ya dakika 5 kwa kila mteja

Kuandaa na kutoa taarifa ya maendeleo ya Elimu kwa mwezi, robo na nusu mwaka na mwaka kwa TAMISEMI, Wizara ya Elimu na Halmashauri.
Ndani ya Siku 5 za wiki

Kutoa maelekezo na miongozo mbalimbali ihusuyo utekelezaji wa mtaala wa elimu kwa Walimu.
Ndani ya Siku 1

Kupitisha madokezo mbalimbali kwa ajili ya Maafisa na Ofisi mbalimbali za Halmashauri ya Jiji.
Ndani ya dakika 10 kwa kila mteja

Kuandaa na kutoa taarifa za mitihani na matokeo ya wanafunzi kwa wadau mbalimbali
Ndani ya wiki tangu matokeo kutoka

Matangazo

  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 JIJI LA MBEYA December 18, 2020
  • JOINING INSTRUCTION YA SHULE ZA SEKONDARI KWA WANAFUNZI WATARAJIWA WA KIDATO CHA KWANZA December 16, 2020
  • SHERIA ZINAZOSUBIRI UIDHINISHAJI WA TAMISEMI July 21, 2020
  • TAARIFA YA MREJESHO CITY PARK April 03, 2020
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • MADIWANI JIJI LA MBEYA WAPITISHA MPANGO WA BAJETI 2021/2022

    February 19, 2021
  • WAKAZI WA MWANSEKWA MBIONI KUPIMIWA ARDHI YAO

    February 15, 2021
  • MADIWANI JIJI LA MBEYA WAJITOKEZA KUFANYA USAFI

    January 30, 2021
  • MADIWANI WARIDHIA KULIGAWA JIJI LA MBEYA

    January 29, 2021
  • Tazama Zote

Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

"MSITUBIPU KATIKA UCHAGUZI " RC MBEYA
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Mbeya City Football Club
  • Google
  • Halmashauri ya Jiji la Mbeya Ukurasa Maalumu

Tovuti Mashughuli

  • Poralg Website
  • Ikulu Website
  • Public Service Website
  • Tanzania Website
  • eGA
  • Secretariati ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    Mbalizi Road near TTCL Offices

    Anuani ya Posta: 149 Mbeya

    Simu: +25525252502372

    Simu ya Kiganjani: +255 25 2502563

    Barua Pepe: cd@mbeyacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbeya City Council . All rights reserved.