Kitengo hiki kinahusika na kuandaa mpango wa manunuzi, kusimamia manuzi, ufuatiliaji wa mali za halmashauri pamoja na kuandaa matangazo ya fulsa za zabuni mbalimbali. Pia kinahusika na huhifadhi, kutunza na kusambaa bidhaa zilizonunuliwa
NA |
HUDUMA ZITOLEWAZO |
VIWANGO VYA MUDA
|
|
Kujibu madokezo na barua toka idara mbalimbali za Halmashauri.
|
Ndani ya Siku 3
|
|
Kujibu madokezo na barua toka washika dau mbalimbali za Halmashauri.
|
Ndani ya siku 6
|
|
Kupokeaa mali zilizoombwa na idara mbalimbali toka kwa wazabuni.
|
Ndani ya Siku 7 baada ya kutoa LPO
|
|
Kuandaa na kupitia hadidu za rejea kwa ajili ya kutangaza zabuni za ndani ya nchi baada ya kupata maombi.
|
Ndani ya siku 21
|
|
Kufanya tathmini ya zabuni na kuzawadia zabuni.
|
ndani ya siku 30
|
|
Kutangaza zabuni za Ujenzi
|
Ndani ya siku 90
|
|
Kutoa tuzo ya zabuni na kumjulisha mzabuni alieshinda zabuni.
|
Ndani ya siku 7
|
|
Kupokea na kujaza nukuu za bei ya mahitaji ya wateja (quotations)
|
Ndani ya wiki 1
|
|
Kuandaa hati ya manunuzi (LPO) na kupitishakwa wahusika
|
Ndani ya siku 1
|
|
Kukagua mali toka kwa wazabuni na kuingiza katika vitabu vya mali (stores ledger)
|
Ndani ya siku 7
|
|
Kuandaa nyaraka muhimu za manunuzi kwa ajili ya malipo ya mzabuni
|
Ndani siku 1
|
|
Kuandaa mpango na taarifa ya manunuzi kwenda CMT na PPRA
|
Ndani ya siku 20
|
|
Kujibu Hoja za Ukaguzi toka kwa CAG, CIA, PPRA mara baada ya kuibuliwa.
|
Ndani ya 5
|
Functions of a Procurement Management Unit.
The Procurement Management Unit shall -
(a) manage all procurement and disposal by tender activities of the procuring entity except adjudication and the award of contract;
(b) support the functioning of the tender board;
(c) implement the decisions of the tender board;
(d) act as a secretariat to the tender board;
(e) plan the procurement and disposal by tender activities of the procuring entity;
(f) recommend procurement and disposal by tender procedures;
(g) check and prepare statements of requirements;
(h) prepare tendering documents;
(i) prepare advertisements of tender opportunities;
(j) prepare contract documents;
(k) issue approved contract documents;
(l) maintain and archive records of the procurement and disposal process;
(m) maintain a list or register of all contracts awarded;
(n) prepare monthly reports for the tender board;
(o) prepare and submit to the management meeting quarterly reports on the implementation of the annual procurement plan;
(p) co-ordinate the procurement and disposal activities of all the departments of the procuring entity; and
(q) prepare other reports as may be required from time to time.
Mbalizi Road near TTCL Offices
Anuani ya Posta: 149 Mbeya
Simu: +25525252502372
Simu ya Kiganjani: +255 25 2502563
Barua Pepe: cd@mbeyacc.go.tz
Copyright ©2018 Mbeya City Council . All rights reserved.