• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Mbeya City Council
Mbeya City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Mbeya

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Tasisi
    • Idara
      • Afya
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
      • Mipango na Uchumi
      • Fedha na Biashara
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Maji
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Ugavi
      • Tehama
      • Sheria
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya Fedha na Utawala
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kamati ya Mipangomiji na Mazingira
      • Kamati ya Ukimwi
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Wah Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
    • Orodha ya Wah Madiwani
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

MRADI WA MAJI IZIWA

Start Date: 2013-08-20
End Date: 2017-08-20

TAARIFA YA UJENZI WA MRADI WA MAJI WA IZIWA

Mradi huu ni miongoni mwa miradi sita ya maji iliyotekelezwa na Halmashauri ya Jiji la Mbeya yenye jumla ya gharama ya Shilingi za Kitanzania 2,197,138,713.64 katika kipindi cha mwaka 2007 hadi 2018 katika kata za pembezoni mwa Jiji ambazo ni Ilomba (Ituha na Tonya), Iziwa, Itagano, Mwansekwa, Nsoho na Tembela.

Ujenzi wa mradi huu unatekelezwa na Halmashauri ya Jiji la Mbeya na ulianza na usimamizi chini ya Mtaalamu Mshauri COWI TANZANIA LTD kwa sehemu na Halmashauri imesimamia hadi kukamilika kwake. Ujenzi wa mradi huu ulianza kutekelezwa na Mkandarasi EXTREME ENGINEERING COMPANY LTD na kukamilishwa na Mkandarasi J.O ENTERPRISES LTD baada ya Mkandarasi wa awali kushindwa kuendelea na kazi.

Ujenzi wa mradi huu ulianza mnamo tarehe Agosti, 2013 na ulitarajiwa kukamilika ndani ya mwaka mmoja lakini ilishindikana kukamilika kwa wakati kutokana na changamoto mbali mbali zikiwemo ukosefu wa fedha na kufariki kwa Mkandarasi wa awali.

                                                                                                        

Mpaka kukamilika kwa mradi huu ujenzi utagharimu jumla ya Shilingi za Kitanzania 373,430,630/= ambazo ni fedha kutoka Serikali Kuu. Hadi sasa mradi umetumia kiasi cha Shilingi za Kitanzania 364,094,864.25 na kiasi kilichobaki cha Shilingi za Kitanzania 9,335,765.75 ni fedha zilizobaki kama fedha za zuio.

Wananchi wameweza kuchangia jumla ya Shilingi za Kitanzania 3, 200,000/= katika mfuko wa mradi huu fedha ambazo zitatumika katika uendeshaji na matengenezo ya mradi.

Kazi zilizofanyika mpaka sasa ni ujenzi wa banio la maji, Ujenzi wa tenki la kuhifadhia maji lenye ukubwa wa mita za ujazo 225 (sawa na lita 225,000) na kuzungushia wigo wa waya, Ujenzi wa matenki 2 ya kupunguza msukumo wa maji yenye ujazo wa mita za ujazo 4 kila moja, Ulazaji wa mabomba kwa jumla ya Kilometa 10.56 na ujenzi wa vituo 24 vya kuchotea maji. Mradi huu umekamilika na huduma ya maji inapatikana. Mradi upo katika muda wa matazamio wa mwaka mmoja kuanzia tarehe 01/03/2018.

MADHUMUNI YA MRADI

Madhumuni ya mradi huu ni kuboresha huduma ya maji na kuongeza idadi ya watu wanaopata huduma ya maji safi kwa wanachi waishio pembezoni mwa Jiji la Mbeya.

MANUFAA YA MRADI

Manufaa ya mradi huu wa maji ni kupunguza vihatarishi vya matumizi ya maji yasiyo safi kama vile magonjwa ya mlipuko n.k. kwa wananchi watakaonufaika na mradi huu. Aidha mradi utachangia matumizi bora ya maji ambapo huduma ya maji itaweza kupatikana katika makazi ya watu.

WANUFAIKA WA MRADI

Mradi huu unatarajiwa kunufaisha wanawake na jamii kwa ujumla kwa kuwapunguzia muda wa kutafuta huduma ya maji mbali na makazi yao na kutumia muda wao katika shughuli za uzalishaji mali, hivyo kukuza uchumi wa kaya na jamii kwa ujumla. Mradi huu unatarajiwa kuwanufaisha jumla ya wakazi 6,502 wa kata ya Iziwa na sehemu ya Kata ya Nsoho (Mtaa wa Idunda).

 

 

 

Matangazo

  • TAARIFA YA MAPATO NA MATUMIZI YA HALMASHAURI ZOTE KWA MWAKA WA FEDHA 2021/2022 August 03, 2022
  • TANGAZO LA WALIOCHAGULIWA KAZI YA MUDA YA SENSA YA WATU NA MAKAZI July 25, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 22, 2022
  • KUITWA KWENYE USAILI WASIMAMIZI WA MAUDHUI KATA YA ISANGA July 17, 2022
  • Tazama Zote

Habari Mpya

  • JIJI LA MBEYA LATOA SHILINGI 605,000,000 KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU

    August 02, 2022
  • HATI MILIKI 100 ZAKABIDHIWA JIJI LA MBEYA

    July 21, 2022
  • DC CHUACHUA AKABIDHI ZAWADI ZA SIKUKUU YA EID ALHAJ KWA WATOTO WA KITUO CHA ZION HOME

    July 09, 2022
  • MKOA WA MBEYA WAFANYA VIZURI UKUSANYAJI WA MAPATO

    July 06, 2022
  • Tazama Zote

Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

"MSITUBIPU KATIKA UCHAGUZI " RC MBEYA
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Mbeya City Football Club
  • Google
  • Halmashauri ya Jiji la Mbeya Ukurasa Maalumu

Tovuti Mashughuli

  • Poralg Website
  • Ikulu Website
  • Public Service Website
  • Tanzania Website
  • eGA
  • Secretariati ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya Watu waliotembelea Tovuti

writingMasterThesis

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    Mbalizi Road near TTCL Offices

    Anuani ya Posta: 149 Mbeya

    Simu: +25525252502372

    Simu ya Kiganjani: +255 25 2502563

    Barua Pepe: cd@mbeyacc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbeya City Council . All rights reserved.